Rappa T.I.P. alifanyiwa mahojiano na kipindi cha Ebro in the Morning na waliongelea mada mbali mbali zikiwemo kubadili jina lake kutoka T.I mpaka T.I.P,muziki wake mpya mpaka mahusiano yake na rappa wa kike,Iggy Azalea.
Kuhusu Iggy, T.I. alianz auona dalili za kutokuwa sawa tangu kipindi alipokosolewa kuhusu miiko ya Hiohop na Legendaru rappa Q-Tip,kwani T.I anasema kama Iggy alilalama kwamba hakuwa upamndewake kumtetea kama msanii wake japo alijisahau kwamba alimkingia kifua pindi wanarushiana maneno na vijembe na Snoop Dogg.
T.I ambaye sasa anafahamika kama T.I.P amesema alivyoona dalili za Iggy kuondoka na kutaka kufanya mambo yake hakuwa na jinsi ya kumzuia kwani anaamini amefanya smart movo na atakuwa sawa huko aendako kwani ana kipaji,Tip piaameongza kusema hakuwa na muda wa kupoteza zaidi na Iggy labda wayaweke sawa kwani kwasasa yupo bize akipika albamu yake ya 10 studio.
No comments:
Post a Comment