Lil Wayne imetangazwa anadaiwa kiasi kisichopungua dolla millioni 2 kama malipo ya miaka mitatu ambayo hajailipa kampuni ya wakodishaji wa ndege za kifahari za private jet.
Kampuni hiyo mwezi August mwaka 2014 walimfungulia mashataka Li Wayne kwamba wanamdai dolla millioni 1 na walishinda kesi.
Msemaji wa kampuni hiyi inayofamhamika kama Signature Group amesema pamoja na mahakama kusema wameshinda kesi Lil Wayne hakuwalipa hivyo gharama zimeongezeka kama dola 800,000 na hivyo kufikia dolla millioni 2.
Lil Wayne and Young Money pia wapo matatni katika madeni mbalimbali yakiwemo mamilioni ya mauzo ya tiketi za maonysho waliyoshindwa kuhudhuria.
No comments:
Post a Comment